Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic
amerejea dimbani kwa kishindo baada ya kuwa majeruhi na kufunga mabao
3 yaani hat-trick wakati timu yake ya Paris Saint Germain ikishinda
5-0 dhidi ya St Etienne hapo jana jioni.
Mchezaji huyo wa kimataifa raia wa
Sweden, ambaye alikuwa nje ya dimba kwa wiki tatu akisumbuliwa na
maumivu ya tumbo, ameonyesha makali yake katika mchezo uliopigwa
kwenye dimba la Parc des Princes.
Ibrahimovic akifanya vitu vyake
Cavani nae alicheka na nyavu
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni