.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 22 Oktoba 2014

GEREZA LA KGOSI MAMPURU II ANALOTUMIKIA KIFUNGO MWANARIADHA PISTORIUS LINA ULINZI WA HALI YA JUU

                                                             Muonekano wa gereza la Kgosi Mampuru II. 

Mwanariadha Oscar Pistorius jana alianza maisha ya jela katika gereza la Kgosi Mampuru II mjini Pretoria. 

Mwanariadha huyo alihukumiwa kifungo cha miaka 5 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp kwa kumpiga risasi bila kukusudia siku ya wapendano February 14' 2013 wakiwa nyumbani kwake. 

Gereza hili ni moja ya magereza yenye ulinzi mkali nchini Afrika Kusini.
                                      Oscar Pistorius akiwa na mpenzi wake Reeva Steenkamp

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni