Katika mchezo huo wa ligi kuu, Man City walijikuta wakiendelea kupunguzwa kasi ya kuutetea ubingwa wao baada ya kukubali kipigo hicho kwa mabao yaliyowekwa kimiani na wachezaji Morgan Amalfitano kunako dakika ya 21 na bao la pili la West Ham likiwekwa kimiani na Diafra Sakho 75.
Bao la kufutia machozi la Manchester City lilifungwa na David Silva katika dakika ya 77 ya mchezo huo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni