Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana nabaadhi ya viongozi wa dini ya Kikristu,
wakati alipowasili kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo, Oktoba 19,
2014, kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za kuwekwa Wakhfu Askofu Mteule wa Kanisa
la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, iliyofanyika
jijini humo leo mchana.
Maaskofu wakimwekea mikono ya Baraka Askofu mwenzao, Askofu
Mteule wa Kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango,
wakati akiwekwa Wakhfu katika sherehe zilizofanyika kwenye Uwanja wa CCM
Kirumba jijini Mwanza leo, Oktoba 19, 2014.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akiwahutubia waumini wa dini ya Kikristu, waliohudhuria
katika Sherehe za kuwekwa Wakhfu Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland
Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, zilizofanyika kwenye Uwanja wa CCM
Kirumba jijini Mwanza, leo Oktoba 19, 2014.
Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akimpongeza Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland
Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, baada ya kuwekwa Wakhfu katika
sherehe zilizofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo Oktoba 19,
2014.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa
dini ya Kikristu na wanafamilia ya Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland
Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, baada ya sherehe za kuwekwa wakhfu
zilizofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo, machana.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni