Muajiriwa wa Umoja wa Mataifa
aliyeambukizwa virusi vya Ebola akiwa Afrika Magharibi amefariki
dunia baada ya kuwasili nchini Ujerumani wiki iliyopita kwa ajili ya
matibabu.
Taarifa fupi iliyotolewa leo na
hospitali ya St Georg Clinic in Leipzig, imesema mgonjwa huyo
amefariki dunia jana usiku.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni