Mwanamitindo Naomi Campbell bado
anamvuto licha ya kuwa na umri wa miaka 44 ambapo jana usiku alinaswa
akitoka kwenye tuzo za Attitude Awards.
Mkongwe huyo alionekana Jijini
London akitoka jumba la Banqueting akiwa amevaa vazi jeusi lenye
mvuto la Roberto Cavalli lililokuwa na shanga zinazong'ara kwenye
taa.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni