.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 22 Oktoba 2014

UMOJA WA MATAIFA KUCHUNGUZA MATUKIO YA KUSHAMBULIWA MAJENGO YAKE GAZA

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema ataanzisha uchunguzi kuhusiana na shambulio katika majengo ya umoja huo hivi karibuni katika mashambulizi ya Gaza.

Bw. Ban Ki-moon amesema uchunguzi huru utaangalia matukio mabaya zaidi ambayo yalisababisha vifo vya watu wasio na hatia.

Bw. Ki-moon amesema uchunguzi huo pia utafanya tathimini taarifa za kutumika kwa majengo ya Umoja wa Mataifa kuhifadhi silaha.

Mgogoro huo wa Gaza uliodumu kwa siku 50, ulisababisha vifo vya Wapalestina 2,100 na Waisraeli 73.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni