.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 15 Oktoba 2014

WHO YASEMA VIFO VYA EBOLA VYAFIKIA 4,447 WENGI WAO KUTOKA AFRIKA MAGHARIBI

Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema vifo vya mlipuko wa Ebola vimeongezeka na kufikia watu 4,447 huku idadi kubwa ya vifo hivyo vikitokea Afrika Magharibi.

Mkurugenzi Msaidizi wa WHO, Bruce Ayward amesema kutokuwa na maambukizi mapya 10,000 katika wiki ndani ya miezi miwili, iwapo jitihada hazitofanyika.

Hata hivyo amesema idadi ya maambukizi mapya katika baadhi ya maeneo yamepungua. Nchi za Sierra Leone, Liberia na Guinea ndizo zilizoathiriwa mno na mlipuko huo.

Nchi za nje zilizokuwa  na wagonjwa wa Ebola
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni