.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 27 Novemba 2014

DADA WA RAIS KIM JONG-UN APEWA NAFASI YA JUU YA UONGOZI WA CHAMA

Dada mdogo wa Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un amepatiwa nafasi ya ngazi ya juu ya uongozi wa chama.

Chombo cha Umma kimesema Kim Yo-jong, ambaye umri wake unakadiriwa kuwa ni kati ya 20 kwenda juu amepewa cheo cha makamu mkurugenzi wa idara yenye mamlaka ya juu ya Kamati Kuu ya chama cha KCNA.

Rais Kim Jong-un ni kizazi cha tatu cha familia ya Kim kuongoza taifa la Korea Kaskazini.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni