Luis Suarez usiku wa kuamkia leo alifunga bao lake la kwanza wakati akiichezea FC Barcelona katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi ya Apoel Nicosia, mchezo uliomalizika kwa Barcelona kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 ikiwa ugenini.
Mabao mengine ya Barcelona yalifungwa na mshambuliaji wake aliye kwenye kiwango bora Lionel Messi.
Mashabiki wa Apoel Nicosia wakiwa wamewasha fataki uwanjani wakati wa mchezo huo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni