.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 30 Novemba 2014

POLISI WA MAREKANI ALIYEMUUA KIJANA MWEUSI HUKO MISSOURI AJIUZULU

Afisa polisi wa Marekani Darren Wilson aliyempia risasi na kumuua kijana mweusi asiye na silaha Michael Brown huko Missouri katika Mji wa Ferguson amejiuzulu wadhifa wake, wakili wake Neil Bruntrager amesema.

Wakili Bruntrager ameviambia vyombo vya habari nchini Marekani uamuzi huo wa mteja wake kujiuzulu wadhifa polisi umeanza mara moja.

Polisi huyo Wilson amenukuliwa akisema amechukua uamuzi huo kutokana na tishio la kuendelea kwa ghasi iwapo ataendelea kuwa ndani ya jeshi la polisi.

Mji wa Ferguson pamoja na miji mingine ya Marekani imejikuta katika ghasi na maandamano kufuati uamuzi wa mahakama kuamua polisi huyo hapaswi kufunguliwa mashtaka.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni