.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 2 Desemba 2014

AJIUZULU BAADA YA KUWAPONDA WATOTO WA RAIS BARACK OBAMA KWENYE FACEBOOK


Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Mwakilishi wa Baraza la Congress la Marekani aliyewashambulia Malia na Shasha Obama kwa kuvaa vinguo vifupi kupitia ukurasa wake wa Facebook amejiuzulu wadhifa wake.

Bi. Elizabeth Lauten, ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Mwakilishia wa Baraza hilo Stephen Fincher, R-Tenn, wiki iliyopita aliwashambulia watoto hao wa rais Barack Obama na kuwaponda kwa maneno makali.

Bi. Lauten alipopigiwa simu na kituo cha habari cha ABC, kutaka kuthibitisha taarifa hizo alipokea simu huku akiangua kilio, na kusema ni kweli amejiuzulu, wadhifa wake tangu jumatatu asuhuhi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni