.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 2 Desemba 2014

WANAJESHI WA LEBANON WAMSHIKILIA MKE NA MTOTO WA KIUME WA KIONGOZI WA LEBANON

Vikosi vya Usalama vya Lebanon vinamshikilia mke na mtoto wa kiume wa kiongozi wa kundi la Dola ya Kiislam (IS), Abu Bakr al-Baghdadi karibu na mpaka na nchi ya Syria.

Mke huyo na mtoto wa kiongozi huyo walinaswa na kikosi cha intelejensia cha jeshi la Lebanon baada ya kuingia nchi hiyo siku kumi zilizopita.

Gazeti la al-Safir limeripoti kuwa mke wa Baghdadi anahojiwa katika wizara ya ulinzi ya Lebanon.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni