Bao pekee kutoka kwa mshambuliaji mwenye juhudi na uchu mkubwa wa kufunga mabao, Alexi's Sanchez lilitosha kuipa pointi tatu muhimu Arsenal katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza dhidi ya Southampton uliochezwa usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa Emirates.
Kwa matokeo hayo, Arsenal imesimama katika nafasi ya sita wakiwa na pointi 23 huku Southampton wakiwa nafasi ya tatu na pointi 26.
Alexis Sanchez akifurahia bao lake dhidi ya Southampton
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni