Wafuasi wa Rais Kenyatta walikuwa na mabango yenye kuonyesha kumuunga mkono.
Jumamosi, 6 Desemba 2014
BAADA YA MAHAKAMA YA ICC KUMFUTIA MASHITAKA RAIS KENYATTA, WANANCHI KENYA WAANDAMANA KWA FURAHA
Kufuatia Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Mkosa ya Jinai ICC iliyopo Uholanzi, Fatou Bensouda kumfutia mashitaka Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya mashitaka yaliyokuwa mbele ya mahakama hiyo, wananchi wa Kenya waliingia mitaani jijini Nairobi kuonyesha furaha yao kwa hatua hiyo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni