.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 6 Desemba 2014

SOMALIA YAANDAMWA NA MABOMU YA KUJITOA MUHANGA, LEO WATU 15 WAMEFARIKI DUNIA KATIKA MGAHAWA MMOJA

Zaidi ya watu 15 wameripotiwa kufariki dunia na wengine wamejeruiwa kufuatia milipuko ya mabomu mawili ya kujitoa muhanga hii leo katika mgahawa mmoja mjini Baidoa nchini Somalia. 

Ofisa wa ngazi ya juu wa Polisi nchini Somalia, Osmail Mohamed amethibitisha kutoa kwa milipuko hiyo ya mabomu na idadi ya watu waliopotez maisha.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni