Akiongea na Watanzania kupitia wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam hii leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Rais Jakaya amesema
"tumeamua mwenzetu huyu atupishe ili tuchague mtu mwingine wa kuhudumu katika wizara hiyo kutokana na maswali magumu.
Akiwa kama Mtumishi wa serikali ambaye anatakiwa kufuata maadili ya Utumishi wa umma aliamua kupokea kiasi kikubwa cha fedha huku akijua kimaadili kama mtumishi wa serikali haitakiwi, alisema Rais Kikwete.
Kwa upande wa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na Katibu Mkuu wa Wiazara hiyo Eliackhim Maswi amesema ameagiza uchunguzi ufanyika na katika muda wa siku mbili au tatu hivi atapewa taarifa ya uchunguzi huo na kuchukua hatua stahiki.
Akiwa kama Mtumishi wa serikali ambaye anatakiwa kufuata maadili ya Utumishi wa umma aliamua kupokea kiasi kikubwa cha fedha huku akijua kimaadili kama mtumishi wa serikali haitakiwi, alisema Rais Kikwete.
Kwa upande wa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na Katibu Mkuu wa Wiazara hiyo Eliackhim Maswi amesema ameagiza uchunguzi ufanyika na katika muda wa siku mbili au tatu hivi atapewa taarifa ya uchunguzi huo na kuchukua hatua stahiki.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni