.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 2 Desemba 2014

KUFUATIA MAUAJI YA WACHIMBA KOKOTO 36 LEO ASUBUHI, WAZIRI WA MAMBO YA NDANI NA MKUU WA JESHI LA POLISI KENYA WAACHIA NGAZI

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Kenya David Kimaiyo (kushoto) akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani Joseph Ole Lenku (kulia).

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Joseph Ole Lenku na Mkuu wa jeshi la polisi nchini humo, David Kimaiyo wamejiuzulu nyadhifa zao kufuatia tukio la kuuawa kwa wachimba kokoto 36 leo asubuhi katika mkoa wa Mandera uliopo mpakani na Somalia na wafuasi wa kundi la Al-Shaabab.  

Kujiuzulu kwa Ole Lenku na Kimaiyo, pia kunafuatia matukio mbalimbali ya uhalifu nchini humo ambAyo yamekuwa yakilalamikiwa na wananchi.
             Ramani inayouonyesha mkoa wa Mandera uliopo mpakani na Somalia
Miili ya wachimbaji kokoto waliouawa mapema leo asubuhi na wafuasi wa kundi la Al-Shaabab ikiwa imelala chini baada ya kupigwa risasi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni