Mwendesha Mashitaka Mkuu Mahakama ya
Kimataifa ya Makosa ya Uhalifu (ICC) Fatou Bensouda leo amefuta
mashitaka yaliyokuwa yakimkabili rais wa Kenya Uhuru Kenyatta katika
Mahakama hiyo.
Mwendesha Mashitaka Bensouda
ameitaarifu chemba ya mahakama hiyo katika shauri aliloliwasilisha
mapema leo akitaka kufuta mashitaka yaliyokuwa yakimkabili rais
Kenyatta.
Bensouda amesema ushahidi
hakuimarika kuweza kuthibitisha bila mashaka kwamba kiongozi huyo
kutiwa hatiani kufuatia mashitaka aliyofungiliwa dhidi yake ya
uhalifu wa kibinadamu.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni