Mbunifu wa Mavazi nchini Tanzania
Manju Msita kulia akizungumza na waandishi wa habari juu ya ushiriki
wake katika maonesho ya Mozambique Fashion Week yatakayoanza Desemba
10 mpaka 14 ambapo atakuwa akipeperusha bendera ya taifa.
Mwanamitindo Matukio Chuma kulia
akizungumza na wahandishi wa habari wakati wa kutangaza
upeperushwaji wa bendera ya tanzania katika nchi ya mozambique
fashion week ambayo mbunifu wa mavazi Manju Msita atashiriki na
kupeperurusha bendera ya Tanzania kushoto ni mwanamitindo Vivian
Williams ambaye anafanya shughuli zake za uwanamitindo Jijini
Barcelona nchini Hispania.
Mwanamitindo anaefanya shughuli zake
Jijini Barcelona nchini Hispania Vivian Williams kushoto akizungumza
na waandishi wa habari juu ya ujio wake nchini kwa ajili ya kushiriki
maonesho ya Swahili Fashion Week yatakayoanza Ijumaa ya Desemba 5
mpaka 7 kulia ni Mwanamitindo Matukio Chuma.
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa
ngumi nchini Rajabu Mhamila kushoto akiangalia zawadi aliyopewa na
mwanamitindo Matukio Chuma iliyotoka kwa Manju Msita.




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni