.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 4 Desemba 2014

MBUNGE WA UINGEREZA AKAMATWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA KUBAKA

Mbunge wa chama cha Conservative, Mark Pritchard amekamatwa kufuatia tuhuma za kubaka na kuachiwa kwa dhamana.

Habari zilizotolewa leo zinaeleza kuwa mbunge huyo wa jimbo la Wrekin huko Shropshire, alikamatwa na kuhojiwa na polisi siku ya jumanne kwa tuhuma za kubaka.

Mbunge huyo mwenye umri wa miaka 48, ambaye alikuwa ni mkurugenzi wa masoko, alijipeleka mwenyewe kituo cha polisi na kupatiwa dhamana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni