.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 2 Desemba 2014

MICHEZO YA BANDARI 2014 YAANZA MKOANI MTWARA

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Ponsiano Nyami akizungumza na wanamichezo wa Bandari.
Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA ambaye pia ni Mkurugenzi wa Rasilimali Watu, Bw. Peter Gawile akizungumza na wanamichezo wa Bandari.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Ponsiano Nyami akiikagua timu ya Bandari ya Dar es Salaam kabla ya kuwavaa Bandari Mtwara.
 Timu ya kuvuta kamba kutoka Bandari ya Dar es Salaam wakimenyana na wenzao wa Bandari Mtwara.
 Timu ya kuvuta kamba kutoka Bandari Mtwara wakimenyana na wenzao wa Bandari ya Dar es Salaam.
Timu kutoka Bandari za Maziwa ikiingia uwanjani.
 Timu ya Makao Makuu.
Kikosi cha Bandari ya Dar es Salaam wakijipanga kwa ufunguzi.
 Mashabiki wakiwa uwanjani.
 Kikosi kazi cha Bandari ya Mtwara kabla ya kuwavaa Bandari ya Dar es Salaam.
 Maafisa wa huduma ya kwanza kazini.
Timu ya netball kutoka Bandari ya Mtwara.
                                                               Timu ya netball kutoka Makao Makuu.
Mchezo wa bao baina ya Makao Makuu na Bandari ya Mtwara.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni