Maafisa wa nchini Indonesia wamesema
wameona mabaki kwenye bahari wakati wakitafuta ndege ya AirAsia namba
QZ8501, iliyotoweka tangu siku ya jumapili.
Vitu kadhaa ukiwemo mwili
vimeonekana kuelea kwenye bahari ya Java, eneo la kando la Indonesia
la Borneo, ambalo ni miongoni mwa maeneo yanayotafutwa ndege hiyo.
Maafisa wa Indonesia wamesema mabaki
hayo yanawezekana yakawa ya ndege hiyo iliyopotea.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni