.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 30 Desemba 2014

MAREKANI YAFANYA MASHAMBULIZI YA ANGA DHIDI YA AL-SHABAAB NCHINI SOMALIA

Nchi ya Marekani imesema imefanya mashambulizi ya anga kwa wapiganaji wa kundi la al-Shabaab nchini Somalia.

Mashambulizi hayo yamemlenga kiongozi mwandamizi wa kundi hilo, katika eneo la Saakow, kwa mujibu wa taarifa ya Idara ya Ulinzi ya Marekani.

Marekani imekuwa ikiunga mkono jitihada za vikosi vya Umoja wa Afrika ambavyo vimewaondoa al-Shabaab katika mji mkuu wa Mogadishu na katika miji mingine tangu mwaka 2011.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni