Rais Barack Obama amesema rais
Vladimir Putin amefanya kosa la kimkakati, alipoamua kulimega eneo la
Crimea kutoka Ukraine, uamuzi ambao sio wa kierevu.
Rais Obama amesema wale waliokuwa
wakifikiria Putin ni mwerevu, wamebaini kuwa si kweli baada ya Urusi
kutumbukia katika mgogoro wa kiuchumi.
Amesema vikwazo vilivyowekwa
vimeufanya uchumi wa Urusi, kuwa tete kutokana na mabadiliko ya bei
ya mafuta.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni