Mtuhumiwa wa dawa za kulevya Adul
Koroma raia wa Sierra Leone amepigwa risasi na kufa wakati akijaribu
kutoroka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam.
Mtuhumiwa huyo alijaribu kutoroka
leo asubuhi alipofikishwa Mahakamani kwa ajili ya kutajwa kesi yake,
ambapo aliwatoroka askari na kukimbia kupanda fensi ya chuma na nguo
zake zilinasa kwenye vyuma na polisi kumuwahi kwa kumpiga risasi.
Watu wakishanga baada ya mtuhumiwa huyo kupigwa risasi
Askari Magereza wakiutoa mwili wa mtuhumiwa aliyeuwawa



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni