.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 31 Desemba 2014

MTOTO WA MIAKA MIWILI AMPIGA RISASI MAMA YAKE MZAZI NA KUMUUA NCHINI MAREKANI

Mwanamke mmoja katika jimbo la Idaho nchini Marekani ameuwawa na mtoto wake wa kiume wa miaka miwili kwa kumpiga risasi baada ya kuchukua bastola kwenye pochi yake.

Mwanamke huyo aliyetambulika kwa jina la Veronica J Rutledge, mwenye umri wa miaka 29, alipigwa risasi na mtoto wake huyo kwenye duka la Wal-Mart katika mji Hayden.

Msemaji wa duka hilo amesema mwanamke huyo alikuwa anafanya manunuzi akiwa na watoto kadhaa wakati wa tukio hilo. Maafisa wamesema marehemu kibali chake cha silaha kilikuwa kimefutwa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni