Mwandishi wa Habari wa Redio Annur Fm Kasim Khamis akimuuliza swali Bi. Fatma Jinja kuhusiana na utunzi wa vitabu vyake alivyo vizindua.
Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo wakimskiliza Bi. Fatma Jinja (hayupo pichani) alipokuwa akitoa maelezo juu ya utunzi wa vitabu hivyo .
Waandishi wa Habari wakifanya mahojiano na mtunzi wa vitabu Bi. Fatma Jinja huko nyumbani kwake Chukwani Zanzibar baada ya uzinduzi wa vitabu vyake. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni