.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 2 Desemba 2014

RAIS BARACK OBAMA WA MAREKANI AOMBA DOLA MILIONI 263 KUBORESHA JESHI LA POLISI

Rais Barack Obama wa Marekani ameomba kiasi cha dola milioni 263 kuboresha mafunzo ya polisi, kununulia kamera ya kuvaa mwilini na kurejesha imani kwa jeshi la polisi.

Rais Obama ameliomba baraza la Congress fedha hiyo baada ya kuwepo maandamano ya kitaifa ya wiki moja kushutumu jeshi la polisi kutowatendea haki watu weusi.

Mji wa Ferguson eneo la Missouri ulikumbwa na machafuko baada ya mahakama kuamua kutomfungulia mashtaka polisi mzungu aliyempiga risasi na kumuua kijana mweusi asiyena silaha.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni