Mashabiki wakiwa uwanjani Nangwanda Sijaona wakifatilia mechi ya soka kati ya Mtwara na Maziwa.
Matalena Muhagama mkimbiaji kutoka Bandari ya Dar es Salaam akiwa mbele ya wakimbiaji wengine wakati wa michezo ya Bandari ‘Inter-Ports Games’ inayoendelea mjini Mtwara.
Suleiman Mwalilo a.k.a Kingsley kutoka Bandari ya Dar es Salaam akikata upepo katika michezo ya Bandari ‘Inter-Ports Games’
Damian Mkobokwa wa timu ya Makao Makuu na wenzake wakianza mchezo wa kupokezana vijiti.
Mrusha mkuki Ally Mnubi kutoka Bandari ya Dar es Salaam akijiandaa kurusha mkuki.
Mrusha mkuki, Mathias Shija kutoka Bandari za Maziwa akijaribu kete yake katika mchezo huo.
Mrusha mkuki kutoka Bandari Dar es Salaam akijaribu kete yake katika mchezo huo.
Mrusha mkuki Dkt. Hawa Senkoro kutoka timu ya Bandari ya Dar es Salaam.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni