.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 5 Desemba 2014

TASWIRA: MICHEZO YA BANDARI “INTER-PORTS GAMES” KUFIKIA KILELE LEO IJUMAA, DISEMBA 05 MJINI MTWARA

Mashabiki wakiwa uwanjani Nangwanda Sijaona wakifatilia mechi ya soka kati ya Mtwara na Maziwa.
Matalena Muhagama mkimbiaji kutoka Bandari ya Dar es Salaam akiwa mbele ya wakimbiaji wengine wakati wa michezo ya Bandari ‘Inter-Ports Games’ inayoendelea mjini Mtwara.
Suleiman Mwalilo a.k.a Kingsley kutoka Bandari ya Dar es Salaam akikata upepo katika michezo ya Bandari ‘Inter-Ports Games’
Damian Mkobokwa wa timu ya Makao Makuu na wenzake wakianza mchezo wa kupokezana vijiti.
Mrusha mkuki Ally Mnubi kutoka Bandari ya Dar es Salaam akijiandaa kurusha mkuki.
Mrusha mkuki, Mathias Shija kutoka Bandari za Maziwa akijaribu kete yake katika mchezo huo.
Mrusha mkuki kutoka Bandari Dar es Salaam akijaribu kete yake katika mchezo huo.
Mrusha mkuki Dkt. Hawa Senkoro kutoka timu ya Bandari ya Dar es Salaam.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni