.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 5 Desemba 2014

MFALME THAILAND AFUTA UTARATIBU WAKE WA KUTOKA HADHARANI KWA SABABU ZA KIAFYA

Mfalme wa Thailand, Bhumibol Adulyadej amefuta utaratibu wake wa kujitokeza mbele ya umma kuadhimisha miaka 87 ya kuzaliwa kwake, baada ya kushauriwa na madaktari.

Taarifa hiyo imetolewa wakati ambapo kukiwa na hofu juu ya afya ya mfalme huyo, ambaye ambaye hutukuzwa mno na kuheshimiwa na wananchi wa Thailand.

Maelfu ya watu walijitokeza katika jiji la Bangkok, kwa matarajio ya kumuona mfalme akijitokeza hadharani katika jumba lake la kifalme.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni