.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 5 Desemba 2014

MWANAHARAKATI WA BAHRAINI, ZAINAB AL-KHAWAJA JELA KWA KUCHANA PICHA YA MFALME

Mwanaharakati wa Bahraini, Zainab al-Khawaja amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa kuchana picha ya Mfalme Hamad wa nchi hiyo.

Mahakama imempa fursa mwanaharakati huyo kulipa faini ili awe huru wakati akingojea rufaa yake dhidi ya hukumu hiyo.

Bi. Khawaja, ambaye anatokea kwenye familia ambayo inapinga mamlaka ya nchi, anakabiliwa na kesi nyingine wiki ijayo.

Shirika la Amnesty International limesema litamchukulia Bi. Khawaja kama mfungwa aliyetiwa hatiani kimakosa, iwapo ataswekwa jela.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni