Mmoja wa waliyekufa inaaminika kuwa
amejiua mwenyewe, na polisi hawana nia ya kumtafuta mtuhumiwa na
wanachukulia mauji hayo kuwa ni ya mgogoro wa kifamilia.
Mauaji hayo yamefanyika katika
maeneo tofauti ya mji wa Edmonton, kwenye mkoa wa magharibi wa
Alberta na miili saba imekutwa kwenye nyumba moja mkuu wa polisi Rod
Knecht amesema.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni