.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 1 Januari 2015

CHELSEA, MAN U NA ARSENAL ZIPO UGENINI WAKATI LIGI KUU UINGEREZA ITAKAPOENDELEA LEO

Ligi kuu nchini Uingereza inaendelea leo ikiwa ni sikukuu ya mwaka mpya kwa kushuhudia timu zote 20 zikiteremka viwanjani kuwania pointi tatu muhimu. 

Wakati timu za Manchester United, Chelsea na Arsenal zikiwa ugenini, wenyewe mabingwa watetezi Manchester City na Liverpool wao watakuwa katika viwanja vyao vya nyumbani. 

Chelsea ndio vinara wa ligi hiyo mpaka sasa wakionyesha soka la hali ya juu na nia ya dhati ya kulitaka kombe hilo. 

Ratiba kamili ya mechi za leo ni kama ifuatavyo:-

Stoke vs Manchester United

Aston Villa vs Crystal Palace

Hull vs Everton

Liverpool vs Leicester

Manchester City vs Sunderland

Newcastle vs Burnley

QPR vs Swansea

Southampton vs Arsenal

West Ham vs West Brom

Tottenham vs Chelsea

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni