.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 1 Januari 2015

SINA MATATIZO NA MUME WANGU NA WALA MIMI SIO MJAMZITO, ASEMA KIM KARDASHIAN

Kim Kardashian akiwa amemmbeba mtoto wao, North huku akiwa ameongozana na mumewe Kanye West. 

Staa wa Luninga anayetamba na kipindi cha Keeping Up With The Kardashian, mwanadada Kim Kardashian ameibuka na kusema kuwa hana mgogoro na mumewe hata kidogo. 

Katika kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka 2015, Kim ( 34 ) ameandika katika ukurasa wake wa twitter kuwa, anachukuzwa na uvumi unaoenea kwamba yeye na mumewe Kanye West ambaye ni mwanamuziki kuwa wana matatizo katika ndoa yao. 

Kim amesema kuwa anataka kukanusha uvumi huo na pia amepinga tetesi zinazoenea kuwa yeye ni mjamzito kwa kusisitiza kuwa hana mimba.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni