Waziri wa Uchukuzi, Dkt Harrison Mwakyembe, akisisitiza jambo alipokutana na wafanyabishara wanaotumia bandari ya Dar es Salaam (hawapo pichani), katika ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Leo asubuhi.
Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Award Massawe, akisistiza jambo, wakati Waziri wa Uchukuzi, alipokutana na Wafanyabishara wanaotumia bandari ya Dar es Salaam leo asubuhi katika ofisi za Mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam.
( Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini - Uchukuzi )
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni