Mabingwa hao watetezi wa kombe la ligi kuu nchini Uingereza, walijipatia mabao yao yote mawili kupitia kwa James Milner katika dakika ya 66 na 90.
Jumatatu, 5 Januari 2015
JAMES MILNER AWA SHUJAA WA MAN CITY IKIICHAPA SHEFFIELD 2-1 KUWANIA KOMBE LA FA
Manchester City imeendeleza harakati zake za kutaka kutwaa vikombe zaidi nchini Uingereza, baada ya jana kuifunga Sheffield Wednesday kwa jumla ya mabao 2-1 katika mchezo wa kuwania kombe la FA uliochezwa uwanja wa Etihad.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni