Mshambuliaji wa timu ya Yanga Khamis Tambwe akituliza mpira huku beki wa timu Polisi akijiandaa kumzuia.
Wachezaji wa timu ya Yanga na Polisi wakiwania mpira katika mchezo wao kuwania Kombe la Mapinduzi uliofanyika uwanja wa Amaan Zenj.
Habari na picha kwa hisani ya ZanziNews
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni