Katika mchezo huo, washika bunduki hao wa jiji la London walijipatia mabao yao kupitia kwa Joel Campbell na Alexis Sanchez.
Wachezaji wa Arsenal, kutoka kushoto Santi Cazorla, Hector Bellerin, Alex Oxlade-Chamberlain na Sanchez wakipongezana baada ya Sanchez kufunga bao.
Matokeo ya michezo mingine ya FA ni kama ifuatavyo:-
Dove 0 vs 4 Crystal Palace
QPR 0 vs 3 Sheffield United
Sunderland 1 vs 0 Leeds
Aston Villa 1 vs 0 Blackpool
Southampton 1 vs 1 Ipswich
Stoke 3 vs 1 Wrexham
Yeovil 0 vs 2 Manchester United
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni