.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 1 Januari 2015

LIBERIA YAONDOA AMRI YA KUTOKUSANYIKA ILI WATU KUSHIRIKI MISA YA MWAKA MPYA

Nchi ya Liberia imeondoa amri ya kutotembea ovyo na mikusanyiko iliyowekwa kukabiliana na Ebola, ili kuwaruhusu waumini kwenda makanisani kuhudhuria ibada ya mwaka mpya.

Hata hivyo Wizara ya habari imewatahadharisha waumini kutorundikana na kusongana ama kushikana mikono, ili kuzuia kuusambaza ugonjwa huo hatari.

Serikali ya Liberia ilikuwa inatarajia kutokuwa na Ebola wakati wa Krismasi, hata hivyo ugonjwa huo umekuwa ukiendelea kuchukua maisha ya watu nchini humo. 
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni