Maafisa wa serikali ya China
wamesema tukio la watu kukanyanga katika sherehe za kuukaribisha
mwaka mpya Jijini Shanghai limeua watu 36, na kujeruhi wengine 47.
Kukanyagana huko kumetokea katika
eneo la Chenyi square Jijini Shangahia ambapo maelfu ya watu
walikusanyika kusherehekea kuukaribisha mwaka mpya.
Mitandao ya jamii, imeeleza kuwa
tukio hilo la watu kukanyagana lilichochewa na kitendo cha watu
waliosimama kuchukua fedha feki zilizokuwa zikirushwa kwenye eneo la
kibaraza cha juu cha klabu ya usiku.
Furaha ya Mwaka Mpya ikageuka kuwa ni vilio na majonzi
Waombolezaji wakiweka maua katika eneo la Chenyi Square



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni