.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 6 Januari 2015

MAELFU YA WANAKIJIJI WA KASHMIR WAKIMBIA MAPIGANO KATIKA JIMBO HILO

Maelfu ya wanakijiji wamekimbia nyumba zao eneo Kashmir linalotawaliwa na India wakati vikosi vya India na Pakistani vikipambana kwa silaha katika jimbo la hilo.

Karibu wanajeshi 10 wa India na Pakistani na raia wameuwawa katika kipindi cha wiki moja iliyopita ya vita.

Nchi zote mbili zimekuwa zikitupiana lawama kwa kuanzisha mapigano hayo. Makubaliano ya kusitisha mapigano ya mwaka 2003 bado yanaendelea lakini majirani hao wamekuwa wakishutumiana kwa kuyakiuka.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni