Hali ya tahadhari imetangazwa katika
majimbo saba ya Marekani, wakati wa kukabiliwa na upepo mkali mithili
ya kimbunga huku kukiwa na theluji yenye upana na sentimita 90,
kaskazini-mashariki.
Majimbo ya Boston, New York na
Philadelphia ilianza kusitisha shughuli mbalimbali tangu jumatatu
huku theluji ikiendelea kujikusanya na matarajio ya hali kuwa mbaya
zaidi baadae.
Magari yasiyo ya msaada wa dharura
yamepigwa marufuku kutembea katika barabara ya maili 6,000 Jiji la
New York.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni