.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 6 Januari 2015

MAKAMU WA RAIS WA FIFA KUWANIA NAFASI YA URAIS WA SHIRIKISHO HILO

Makamu wa rais wa Fifa Prince Ali Bin Hussein atachuana na rais wa sasa Sepp Blatter kuwania uongozi wa shirikisho hilo la soka duniani.

Mwana huyo wa Familia ya Kifalme ya Jordan, Prince, 39, atasimama kugombea urais wa Fifa katika uchaguzi utakaofanyika Mei 29 mwaka huu, ambapo Blatter pia atawania muhula wa tano.

Prince Ali amesema huu ni wakati wa kubadilisha utawala wenye utata, na kurejea kwenye njia ya mchezo wa soka.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni