.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Januari 2015

MGOMO KENYA: WAZIRI WA KAZI KUFANYA MAZUNGUMZO NA VYAMA VYA WALIMU

Waziri wa Kazi nchini Kenya Kazungu Kambi leo anatarajia kukutana na vyama vya walimu pamoja na Tume ya Huduma za Walimu, katika jitihada za kumaliza mgomo wa nchi nzima.

Mazungumzo baina ya maafisa wa serikali kutoka Wizara ya Elimu na Wizara ya Kazi pamoja na walimu yalikwama jana, na kuendeleza kuchelewa kufunguliwa kwa shule za umma za Msingi na Sekondari nchi nzima.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni