.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Januari 2015

MICHUANO YA KOMBE LA MAPINDUZI, JKU YAISHANGAZA YANGA UWANJA WA AMAAN

Kikosi cha timu ya JKU kikipasha misuli kabla ya mchezo wao wa Robo Fainal na timu ya Yanga kuanza na kuibuka mshindi kwa kuifunga Yanga bao moja katika kipindi cha pili cha mchezo kupitia mshambuliaji wake Amour Janja.
Wachezaji wa kikosi cha Yanga wakipasha misuli moto kabla ya kuanza kwa mchezo wao dhidi ya JKU uwanja wa Amaan mjini Zanzibar.
Rais wa Shirikisho la Soka nchini ( TFF ) Jamal Malinzi akisalimia kabla ya mchezo kati ya Yanga na JKU, mchezo wa Kombe la Mapinduzi.
Rais wa TFF, Jamal Malinzi akitambilishwa kikosi cha Yanga kabla ya mchezo wao dhidi ya JKU.
                                    Rais wa TFF, Jamal Malinzi akitambulishwa kikosi cha JKU
                                                                                                      Kikosi cha Yanga
                                                 Kikosi cha JKU. Picha kwa ya hisani ya ZanziNews

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni