.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Januari 2015

ANGELINA JOLIE AKUTANA NA KIONGOZI WA KANISA KATOLIKI DUNIA MJINI VATICAN

Muigizaji filamu maarufu ulimwenguni, Angelina Jolie amekutana na Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis mjini Vatican. 

Nyota huyo wa Hollywood mwenye miaka 39, amekutana na Papa siku ya alhamisi alipokuwa nchini Italia kuonyesha kwa mara ya kwanza filamu yake mpya ya Unbroken. 

Angelina Jolie ambaye pia ni balozi wa UNHCR, alifanikiwa kukutana na Papa katika makazi yake mjini Vatican, kitendo ambacho alionekana kukifurahia sana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni