.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Januari 2015

MIILI YATAPAKAA KATIKA MJI WA BAGA NIGERIA BAADA YA BOKO HARAM KUFANYA MAUAJI


Miili imesambaa katika mitaa katika mji muhimu wa kaskazini-mashariki mwa Nigeria kufuatia shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Kundi la Boko Haram.

Boko Haram wameshambulia mji wa Baga siku ya jumatano, baada ya kufanikiwa kutwaa kambi ya jeshi siku ya jumamosi.

Karibu nyumba zote za mji huo wa Baga zimechomwa moto na wapiganaji wa kundi hilo imeelezwa wamekuwa wakisonga katika mji unaofuata. 
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni