.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Januari 2015

MTOTO WA JACKIE CHAN AITWAE JAYCEE CHAN AFUNGWA JELA BEIJING

Jaycee Chan, mtoto wa nyota wa filamu Jackie Chan, amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa makosa la dawa za kulevya.

Chan mwenye umri wa miaka 32, alikiri kosa la kutoka eneo la kutumia dawa hizo katika mahakama ya wilaya ya Dongcheng, huko Beijing.

Polisi walivamia nyumba yake Agosti mwaka jana na kukuta zaidi ya gramu 100 za bangi. Jaycee Chan alikuwa anakabiliwa na kifungo kisichozidi miaka mitatu jela.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni