.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Januari 2015

MWANAUME MMOJA AFUNGULIWA MASHTAKA YA KUMTUPA MTOTO WAKE DARAJANI


Mwanaume mmoja wa Florida Marekani amefunguliwa mashtaka ya mauaji baada ya polisi kueleza kuwa alimtupa kutoka juu ya daraja mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka mitano katika eneo la Saint Petersburg.

Afisa wa polisi mmoja aliona tukio hilo baada ya kumfuatilia baba huyi John Jonchuck Junior, kwa kuendesha gari kasi, Mkuu wa Polisi Anthony Holloway ameeleza.

Mtoto huyo aliyetupwa kutoka kwenye daraja lenye urefu wa mita 18 lenya maji alipatikana baada ya saa mmoja na kuthibitishwa kuwa amefariki dunia baada ya kufikishwa hospitali.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni